Tab Realm

TAB by Song : 266085
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z
Tab List Area
1 Pages 1 Results

Mapenzi by Kidum







          Mapenzi









Tuning: E A D G B E

A          E
kama ni mapenzi
      Bm                    D
ya kuniudhi kila saa, ya kunifanya mi kulia
A             E
na kama huridhiki
     Bm                 D
na mbona hujasema, ili niweze rekebisha
A                  E
ilifaa ni mambo shwari
 
 
      Bm                    D
nikiamini u kwangu, na kukusifu kwa wazazi
A                  E
hujali tena hisia zangu
   Bm                         D
sijui tunapokwenda, lakini najua tulipotoka
 
 
        Bm        A               E
        kutoka sitoki nimetekwa nyara
         Bm          A             E
        kukuwacha siwezi kibarua ngumu
        Bm            A              E
        nashindwa ni nini ntafanya uridhike
             Bm               A
        nimetekwa ndani, mtandao wa mapenzi
                 E
        basi nakuomba, uniteke tu bila mateso
 
 
      A         E                 Bm             D
   tazama, nimezama,  ndani ya bahari, la penzi lako
      A              E              Bm       D
   siwezi, kusonga mbele,  kurudi nyuma, sijielewi
           A        E        Bm
   haya mapenzi ya fujo hayafai
             A        E           Bm
   kama wanipenda, jaribu kunipa raha
 
 
          A           E
mi nashangaa, watu wakisema
            Bm               D
eti tunapendana, japo tunazozana
      A                        E
ni vizuri mami, kumba kuwa na siri
          Bm          D
lakini jaribu, tusuluhishe
       A              E
bila hivyo, itakuwa mteso
 
 
      Bm                     D
wa kuigiza, kwenye mambo bandia
        A                  E
mimi sitaki, mambo ya kujifanya
            Bm               D
ati tunapendana, tena tunatesana
 
 
      Bm            A             E
        nimejaribu sana kujitoa ndani
      Bm            A                E
        kila nikipanga napangua mwenyewe
      Bm           A             E
        natamani sana ungeelewa hivyo
               Bm             A                       E
        mimi mateka, mimi pumbavu (mabusu), wa penzi lako
        nieleze ni lini ntakuwa huru
 
 
   tazama, nimezama...
 
jaribu baby...mambo, ya kunifanya kumbafu haifai
mambo yo yo yo yo yo...haifai, jaribu baby, tusuluhishe
 
        nimejaribu sana kujitoa ndani...
 
   tazama, nimezama...
   haya mapenzi ya fujo hayafai
   kama wanipenda, jaribu kunipa raha...(ad libitum)








-----------