Tab Realm

TAB by Song : 265062
A B C D E F G H I J K L M N O P Q R S T U V W X Y Z
Tab List Area
1 Pages 1 Results

Hao by Khaligraph Jones feat. Masauti






         Hao 







Tuning: E A D G B E
Key: Fm

[Intro]
Bbm Fm Cm Fm
 
    Bbm  Fm
Yeah
                 Cm  Fm
You gotta love it
                   Bbm  Fm
Eyo whats happening (Hao)
 Cm   Fm
OG (Hao)
             Bbm       Fm
Masauti Kenyan Boy (Hao)
       Cm     Fm
Whats good? (Hao)
 
 
[Hook]
             Bbm
Wanaona mwangaza
    Fm              Cm         Fm
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
                Bbm
Lakini tunapambana
    Fm              Cm          Fm
Ila mziki majanga lazima tu wanene
 
 
[Chorus]
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
 
 
[Verse 1]
Bbm                 Fm                    Cm
Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Yeah)
                   Fm                    Bbm
Ku appologise ia watu haujakosea (Preach)
                  Fm                     Cm
Ka we ni msofti utasema wanakuonea (Why?)
                 Fm                  Bbm
Ka we ni mjanja itabidi umezoea (Now)
                  Fm              Cm
Watakutusi ndio u-catch na wacheke
                  Fm               Bbm
Wakishakutusi mara that, hao wasepe
         Fm               Cm
Udaku inapigwa na kasheshe
                       Fm              Bbm
Ukianguka kwa sakafu unapigangwa mateke
        Fm                  Cm
Kukua celebrity gharama (Gharama)
           Fm                Bbm
Ju wakishakujua ni lawama (Lawama)
                  Fm
Bahati akianza alikuwa mtoto wa mama
    Cm                       Fm            Bbm
Sai Twitter mmegeuziwa ye ni mtoto wa Diana
          Fm                      Cm
Hakuna huruma siri ni kulenga tu (Kulenga tu)
                      Fm                         Bbm
Coz if it ain't don't kill you then inakujenga tu
             Fm                 Cm
Na bado kuna fans wanakupenda tu
                                        Bbm
Azziad usijali, hivi ndo vile kuenda boo
                      Fm
Si nyi hu-troll Simple Boy ka kila siku
    Cm                       Fm           Bbm
But Kipchoge akivaa nguo the same mnamsifu
            Fm
Inauma kupambana na hizi issues
    Cm                  Fm
But brathe usijali we zoea hizi vitu
 
 
[Hook 1]
             Bbm
Wanaona mwangaza
    Fm              Cm         Fm
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
                Bbm
Lakini tunapambana
    Fm              Cm          Fm
Ila mziki majanga lazima tu wanene
 
 
[Chorus 1]
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
 
 
[Verse 2]
Bbm                 Fm                     Cm
Kukuwa celebrity Kenya ni kujitolea (Why?)
                     Fm                          Bbm
Your downfall ndo mbogi huwanga inangojea (Really?)
                         Fm                   Cm
Leo watakuchocha vile uko juu unapepea (Mmm hmm)
                    Fm               Bbm
But kesho ka shetani watakukemea (Riswa)
                 Fm                        Cm
Remember Esther Arunga na huzzy yake Hellon?
                Fm                        Bbm
It's so sad wamefungwa, ju sai ni ma felon
                Fm                         Cm
Walitrend tukawacheka when they needed help (Why?)
                      Fm                        Bbm
Tukaangalia when they busy destroying themselves
             Fm             Cm
Ni poa tuweke imani kwa Yesu
                      Fm             Bbm
Woi Jimmy Gait si ye huona siku mrefu
                Fm                       Cm
Tumemtroll bila kujiuliza question (Like what?)
                  Fm                       Bbm
Like what if that nigga fell in depression?
              Fm                  Cm
Papa Denis alidedi tukamchangishia
                 Fm
Tuka-type Rest In Peace tukimpandisia
Bbm                  Fm
Ati tuko sad na tunajua vile alikapitia
Cm                             Fm                    Bbm
We tu ni ku-troll ni ka haujui kitu inaeza kufanyikia
             Fm               Cm
Mulamwa ameshachoka amedai zii
                Fm                Bbm
Ju ya matusi toka Twitter mpaka IG
                  Fm                  Cm
Mi ni gangsta mkinitroll haiwasaidii (Kwenda!)
             Fm               Bbm
Buda OG huwa zogo shinda 5G (Staki!)
               Fm                    Cm
Mmefanya mpaka Pozee amewacha injili (Hahhaha)
               Fm                      Bbm
Ameacha kuimba mangoma za Holy Spirit (Kweli?)
                   Fm                       Cm
Ju mnapenda ongeza chumvi pia na pilipili (Ala?)
              Fm                       Bbm
10 over 10 hamtaki sai mnatusi Willis (Woo!)
         Fm
As if mmekuwa forced kutazama
     Cm                    Fm                     Bbm
Nyi ni fans in denial so of-course mnajifanya (Okay)
                 Fm
Kukuwa celebrity kuwa ready for drama
  Cm                                                      Bbm
Omba God akubless na self-esteem ya pastor Ng'ang'a (Woo!)
                Fm                   Cm
Na confidence ya Orie Rogo Manduli (Manduli)
                     Fm                   Bbm
Na will-power ya John Pombe Magufuli (Magufuli)
                     Fm
And though wengi watasema ni kiburi
   Cm                       Fm
But that's the only way utaezana na hawa mabully
 
 
[Hook 2]
             Bbm
Wanaona mwangaza
    Fm              Cm         Fm
Ila hawajui nyuma yetu kiza kinene
                Bbm
Lakini tunapambana
    Fm              Cm          Fm
Ila mziki majanga lazima tu wanene
 
 
[Chorus 2]
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
            Bbm           Fm
Wanajifanya wanapenda (Hao)
        Cm          Fm
Ila wanadidimiza (Hao)
 
 
[Outro]
                 Bbm                  Fm
Watakushow ati hauwezi fika mbali (Hao)
                  Cm                Fm
But ni wivu tu jo wamejaa makali (Hao)
                     Bbm             Fm
Comment section wamejazana upuzi (Hao)
                Cm                      Fm
Lakini DMs same haters bado groupies (Hao)
                Bbm                Fm
Ukikafunga hivi waskiangi fiti (Hao)
                  Cm                   Fm
Wanatamani kuishi maisha we unaishi (Hao)
                        Bbm                 Fm
So hata waki-hate haina ngori uko mbele (Hao)
                Cm                 Fm
Get a life nigga punguza kelele (Hao)
 
(Hahahahaha)








----------